Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Profesa Mohamed Janabi akimshukuru Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Kihindu Mwaminarayan Sanstha (BAPS) Duniani Mtukufu Mahant Swami Maharaj alipotembelea Tanzania hivi karibuni na kutoa msaada wa zaidi ya dola za Kimarekani 300,000 kusaidia Taasisi hiyo kwa ajili ya upasuaji wa watoto 200 Profesa Janabi pia amemshukuru sana Bw. Subash Patel Mkuu wa BAPS Tanzania kwa kuratibu na kuwezesha kutolewakwa msaada huo.
Home
Unlabelled
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) yaishukuru Jumuiya ya Kihindu Mwaminarayan Sanstha (BAPS)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...