Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)  Profesa Mohamed Janabi akimshukuru Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Kihindu Mwaminarayan Sanstha (BAPS) Duniani Mtukufu Mahant Swami Maharaj  alipotembelea Tanzania hivi karibuni na kutoa msaada wa zaidi ya dola za Kimarekani 300,000 kusaidia Taasisi  hiyo kwa ajili ya upasuaji wa watoto 200  Profesa Janabi pia amemshukuru sana Bw.  Subash Patel Mkuu wa BAPS Tanzania kwa kuratibu na kuwezesha kutolewakwa msaada huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...