TIB corporate bank katika  kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi leo imechangia Shilingi milioni 15.3 kwa mkoa wa Katavi kusaidia mkoa huu mpya kukabiliana na changamoto mbali mbali ikiwamo miundo mbinu. Pichani wakikabidhi hundi hio kwa Mkuu wa mkoa Katavi Maj Gen Raphael Muhuga ni Mkurugenzi Mkuu wa TIB corporate bank Bw Frank Nyabundege na mkuu wa kitengo cha masoko na mahusiano Bi.Theresia Soka
Pichani ni  Mkuu wa mkoa Katavi Maj Gen Raphael Muhuga (kulia) Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. .Jenista Muhagama (wa pili kushoto), Waziri wa Kazi Na Uwezeshaji Wazee Zanzibar  Mhe. Maudline Castico  (wa tatu kulia) pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TIB corporate bank Bw Frank Nyabundege (kushoto)  na Mkuu wa kitengo cha masoko na mahusiano Bi.Theresia Soka (wa pili kulia)



Picha ya pamoja baada ya hafla hiyo fupi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...