TIB corporate bank katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi leo imechangia Shilingi milioni 15.3 kwa mkoa wa Katavi kusaidia mkoa huu mpya kukabiliana na changamoto mbali mbali ikiwamo miundo mbinu. Pichani wakikabidhi hundi hio kwa Mkuu wa mkoa Katavi Maj Gen Raphael Muhuga ni Mkurugenzi Mkuu wa TIB corporate bank Bw Frank Nyabundege na mkuu wa kitengo cha masoko na mahusiano Bi.Theresia Soka
Picha ya pamoja baada ya hafla hiyo fupi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...