Mkurugenzi Mtendaji Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao,akitoa semina kwa wabunge kuhusu uuzaji wa hisa za kampuni hiyo, bungeni Dodoma
Mkurugenzi Mtendaji Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akiendelea kutoa semina kwa wabunge
Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi kuhusu umuhimu wa kununua hisa za kampuni hiyo, mjini Dodoma
Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi kuhusu umuhimu wa kununua hisa za kampuni hiyo, mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi, Suleiman Jafo akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi kuhusu umuhimu wa kukunua hisa za kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, mjini Dodoma |
Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi kuhusu umuhimu wa kununua hisa za kampuni hiyo, mjini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...