Mkurugenzi Mtendaji  Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao,akitoa semina kwa wabunge kuhusu uuzaji wa hisa za kampuni hiyo, bungeni Dodoma
  Mkurugenzi Mtendaji  Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akiendelea kutoa semina kwa wabunge 
 Mkurugenzi  mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi  kuhusu umuhimu wa kununua hisa za kampuni hiyo, mjini Dodoma

 Mkurugenzi  mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi  kuhusu umuhimu wa kununua hisa za kampuni hiyo, mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi, Suleiman Jafo akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi  kuhusu umuhimu wa kukunua hisa za kampuni  ya Vodacom Tanzania PLC, mjini Dodoma

 Mkurugenzi  mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Tamisemi  kuhusu umuhimu wa kununua hisa za kampuni hiyo, mjini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...