Mshindi wa pikipiki katika shindanola Shika ndinga la EFM kwa wanawake kutoka wilaya ya Temeke ambaye aliondoka na pikipiki ya Sanmoto katika Viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es salaam siku ya Jumapili.
Mshindi kwa wanaume washindano la Sjika ndinga, Abdallah Twaha akiangukia gari mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa pikipiki ya Sanmoto viwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, jijini Dar es salaam.
 Meneja wa EFM Radio Dennis Ssebo  akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi ya pikipiki kwa washindi
 Meneja Masoko wa kampuni ya Mosan ya hapa nchini Tanzania,Jakson Stephen akikabidhi pikipiki aina ya Sanmoto kwa washindi Pili Hassna na Abdalah Twaha mara baada ya kuibuka washindi katika shindano la Shika ndinga Wilaya ya Temeke liliandaliwa na EFM. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...