Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma akizungumza na waandishi  juu ya Maendeleo ya Michezo ya Zanzibar  kwa ujumla leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe.
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua mbalimbali SErikali  inazofanya  katika kuimarisha Michezo nchini.Kulia kwake ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma na Kushoto kwake ni Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo Dkt.Hassan Abbas
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembeakifurahia jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma wkati walipokutana Jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo mafupi juu ya hali ya Michezo nchini.Picha zote na Daudi Manongi-MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...