Waziri
wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Mhe.Rashid Ali Juma akizungumza na waandishi
juu ya Maendeleo ya Michezo ya Zanzibar
kwa ujumla leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua
mbalimbali SErikali inazofanya katika kuimarisha Michezo nchini.Kulia kwake
ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma na Kushoto kwake ni Mkurugenzi Idara ya Habari
Maelezo Dkt.Hassan Abbas
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembeakifurahia jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii
na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma wkati
walipokutana Jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo mafupi juu ya hali ya Michezo
nchini.Picha zote na Daudi
Manongi-MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...