Katika kukuongezea burudani wewe msikilizaji wa 93.7fm Dar es salaam, Pwani na 91.3fm Mwanza, kituo cha E- fm redio kinakuletea kipindi kipya cha The chart show kitakacho husisha ngoma kali zinazoshikilia chart na stori kemkem za wanamuziki kutoka ndani na nje ya nchi kiitwacho KARATA 15 kaa tayari kukutana na watangazaji wako Jabir Salehe“KUVICHAKA- Bonge Tozz” na Allen Mushi “BIG ALLEN” kila Jumamosi kuanzia tarehe 13/05/2017, saa 6:00 – 8:00 Mchana.
“E-FM NI KWIKWI”
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...