Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Tulia Ackson akiongoza kikao cha
Ishirini na nane cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei
18, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista
Mhagama akizungumza jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Mazingira na Muungano Mhe.January Makamba katika kikao cha Ishirini na
nane cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 18, 2017.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango
Mhe.Dk.Ashatu Kijaji akifafanua jambo katika kikao cha Ishirini na nane
cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 18, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Mazingira na Muungano Mhe.January Makamba akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha Ishirini na nane cha Mkutano wa
saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 18, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...