Kushoto ni Liban Newa mchezaji wa Golf kutoka Durham, North Carolina akikabidhi vifaa vya mchezo wa golf kwa watoto katika viwanja vya mchezo huo Lugalo jijini Dar ikiwa kama sehemu ya uzinduzi wa Charles Newa Golf Academy itakayo saidi katika muendeleza vipaji vya watoto wanaopenda mchezo huo. Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na fimbo, mipira, gloves vikiwemo vifaa vingine. Anayepokea vifaa hiyo ni Japhet Masai timu kapteni wa Lugalo golf Club na mwalimu wa watoto hao.
 Liban Newa (kulia) akikabidhi moja ya vifaa vya mchezo wa golf katika viwanja vya Lugalo jijini Dar ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa Charles Newa Golf Academy. Anayepokea msaada huo ni Juma Likuli ambaye ni mwalimu msaidizi wa watoto hao.
 Watoto wapenda mchezo huo waliojitokeza kwenye makabidhiano ya vifaa vya mchezo wa golf wakiwa katika picha ya pamoja.
Watoto wakipata mapochopocho mara baada ya makabidhiano hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...