Mwakilishi wa taasisi ya Rehema foundation ,Zuber akigawa chakula kwa ajili ya futari kwa wakazi wa Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na taasisi yao kutoka kwa wanancha mbali mbali wa nchi ya Uturuki kwa kipindi hiki cha Ramadhani
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rehema ,Mustafa Diriel akigawa mifuko ya futari kwa wasiojiweza na wazee wa kijiji cha Kilomo Bagamoyo Pwani.Chakula hicho kimechangishwa na watu mbali mbali katika inchi ya Uturuki
Mohamedd akimpatia mzee Miraji fuko lake la futari katika kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Wafanyakazi wa taasisi ya Rehema Foundationi wakigawa mifuko ya chakula
Mbunge wa Bagamoyo akiwa na timu mzima ya Taasisi ya Rehema na wakazi wa kilomo baada ya kupewa msaada huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...