Sisi watanzania tunaoishi Sweden kwa majonzi na masikitiko makubwa tunatoa pole zetu kuwafikia familia zilizoguswa na msiba, shule ya Lucky Vicent Arusha na Taifa kwa ujumla kwa kupoteza watoto, dereva, na waalimu.  

Habari hizi zimetugusa sana na kuleta simanzi na masikitiko makubwa katika jamii ya Watanzania hapa Sweden. Tunapendelea pia kuipongeza serikali yetu kwa jitihada zake za kukabiliana na janga hilo bila kupoteza wakati na pia kuwafariji wafiwa katika wakati huu mgumu. 
TUNATANGULIZA UPENDO NA MSHIKAMANO KWA TAIFA LETU

KWA NIABA YA WATANZANIA SWEDEN
MWENYEKITI
NORMAN JASSON


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...