Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dk. Charles Kimei akizungumza
wakati wa ufunguzi wa semina ya Wanahisa wa Benki hiyo, iliyofanyika leo
kwenye katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.Semina hiyo, itafuatiwa na Mkutano
Mkuu wa 22 wa Wanahisa wa Benki hiyo, utakaofanyika kesho Mei 20, 2017.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya Wanahisa wa Benki hiyo, iliyofanyika leo kwenye katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha. Semina hiyo, itafuatiwa na Mkutano Mkuu wa 22 wa Wanahisa wa Benki hiyo, utakaofanyika kesho Mei 20, 2017.
Mwenyekiti wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB, Mwasajuni akiongoza semina hiyo
Katibu
wa Benki ya CRDB, John Rugambwa akipitia moja ya vitabu vya mada
mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye semina ya Wanahisa wa Benki
hiyo, iliyofanyika leo
kwenye katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.
Mkurugenzi
wa Masoko, Utafitii na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB PLC, Tully
Mwambapa akifatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye
semina ya Wanahisa wa Benki hiyo, iliyofanyika leo
kwenye katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.
Naibu
Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya CRDB PLC, Saugata Bandyopadhyay
(kulia) na Esther Kitoka wakiteta jambo, wakati wa ufunguzi wa semina ya
Wanahisa wa Benki hiyo, iliyofanyika leo
kwenye katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...