Mbolea ya YaraMila Winner Ni mbolea ya NPK ya kupandia inayowekwa kwenye udongo wa mazao ya mboga mboga na matunda Matumizi 1. Kupandia – Weka kisoda kimoja hadi viwili kimoja kwa mmea kuzunguka shina wiki moja baada ya kuota 2. Kukuzia- Tumia vifuniko viiwili baada ya siku 14 kulingana na hitaji Zingatia · Udongo wako uwe na unyevunyevu wakati wa kuweka mbolea · Weka umbali wa sentimita 5 kutoka kwenye shina · Tafadhali wasiliana na bwana shamba wa kampuni ya Yara kwa maelekezo na mahitaji maalumu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...