Airtel yafuturisha wafanyakazi wake siku ya ijumaa kabla ya sikukuu ya Eid

 Wafanyakazi katika kitengo cha mawasilino cha Airtel wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kufuturu . kushoto ni mkurugenzi wa mawasiliano Beatrice Singano, akifatiwa na Afisa uhusiano Jane Matinde, Meneja huduma kwa jamii, Hawa Bayumi pamoja na Afisa uhusiano na matukio, Dangio Kaniki
 Sheikh Hilal Kipoozeo akiongoza wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari
 Wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari
  Wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari
  Wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...