Mfanyabiashara ya Mkaa akipandisha na Baiskeli iliyobeba mkaa katika eneo la pugu Sekondari akitokea maeneo ya Chanika  akifata soko  eneo la Gongolamboto Dar es Salaam.
 Mfanyabiashara ya Mkaa akipandisha eneo la Kigogo Fresh Pugu  akitokea Chanika  na kufata masoko katika eneo la Gongo la Mboto, mchuuzi huyo hutembea zaidi ya kilometa kumi kutokea katika maeneo ya misitu hadi kufika mjini akiwa na mzigo huo
 Mfanyabiashara ya Mkaa akivuta pumzi katika eneo la Chanika baada ya kutembea kwa muda mrefu akifuata soko katika eneo la Gongo la mboto Jijini Dar es Salaam
Baiskeli zikiwa zimepiga kambi katika kituo chao eneo la Kigogo Fresh nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...