Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
DROO ya makundi ya michuano ya Sports Extra Ndondo Cup imepangwa ambapo timu 32 zinatarajiwa kupambana katika kinyang'anyiro hicho. 
Michuano hiyo ambayo ambayo bingwa mtetezi ni Temeke Market itaanza Jumamosi ya Juni 17 ambapo timu za Makuburi FC itacheza na Stimtosha kwenye uwanja wa Kinesi katika mchezo wa ufunguzi. 
Bingwa huyo mtetezi amepangwa kundi G pamoja na timu za Makuburi, Stimtosha na Dar Polisi College. 

Makundi hayo yamepangwa kama ifuatavyo: 
Kundi A
Misosi FC
Buguruni United
Kibo Combine
Mdandu Investment
Kundi B
Kibada One
Madiba FC
Burudani FC
Twiga International

Kundi C
Tabata United
Wauza Matairi
Mpakani Combine
Vijana Rangers

Kundi D
Boom FC
Temeke Squard
Tandavamba FC
Vituka FC

Kundi E
Keko Furniture
Mlalakuwa Rangers
Black Six
Goroka FC

Kundi F
Kigogo Combine
Goms United
Ukwamani 
Kigoma Combine

Kundi G
Temeke Market
Makuburi FC
Stimtosha FC
Dar Police College

Kundi H
Kauzu FC 
Faru Jeuri
Shelaton
Miami FC

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...