Mkongwe wa muziki Wangaka Ahmad Manyema amefariki dunia leo katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa familia mazishi yake yatafanyika kesho Adhuhuri saa saba Mabibo Makutano jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...