Mkongwe wa muziki Wangaka Ahmad Manyema amefariki dunia leo katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa familia mazishi yake yatafanyika kesho Adhuhuri saa saba Mabibo Makutano jijini Dar es salaam.
Home
Unlabelled
"Dunia Sio Yetu" by Mzee Wangaka Ahmad Manyema (RiP)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...