Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko wa GEPF, Joce Shaidi akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 500, kwa Meneja wa Chama cha sukari cha WAFANYAKAZI cha kukopa na kuweka cha mkoani kagera (Sukari Savings & Credit Cooperative Society Ltd), Robert Mshoki, kwa ajili ya Sacoss mbalimbali za Mkoani Kagera, katika hafla fupi ya kutiliana saini, iliyofanyika leo Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko wa GEPF, Joce Shaidi akisaini mkataba wa Mkopo wa kiasi cha Shilingi Milioni 500 na Chama cha sukari cha WAFANYAKAZI cha kukopa na kuweka cha mkoani kagera (Sukari Savings & Credit Cooperative Society Ltd), kwa ajili ya Sacoss mbalimbali za Mkoani Kagera, katika hafla fupi ya kutiliana saini, iliyofanyika leo Jijini Dar es salaam. Katikati ni Meneja wa Chama hicho, Robert Mshoki  na kulia ni Mrajisi Msaidizi kutoka Kagera Sugar, R. Kitambo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...