Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akizungumza na wananchi wa Mombo mkoani Tanga jana wakati akiwa njiani kuelekea Mkoani Kilimanjaro. IGP amewataka wananchi wa mombo kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kudumisha amani na utulivu nchini. Picha na hassan mndeme-jeshi la polisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...