Duka la viwalo vikali hapa mjini la J&M Virgo limetoa bonge la ofa la punguzo la bei ya bidhaa zake kwa wateja wake katika kipindi hiki cha Mwezi wa Ramadhan na kuelekea Sikukuu ya Idd El Fitr, hivyo kuwahi kwako mapema ndio kufaidi punguzo hilo, maana bei sasa ni karibu na bure kabisa. Hivyo watembelee Dukani kwao pale Mikocheni B usoni kabisa mwa Kiota cha Safari Canival karibu ya Daraja la Mlamakuwa au waweza kuwapigia simu kwa namba hii 0715 534 530, Pia uweza wafuate katika ukurasa wao KWA KUBOFYA HAPA

Bofya hicho kimshale hapo juu kuona Video hii.
Magauni ya mitoko.
 Skuna za haja.
 Moka za kisasa kwa kinaBaba.
 Mikoba.
Suti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...