Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj
Abdallah Bulembo akiingia ukumbini kuzungumza na Wajumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Wilaya ya Kibondo, Mabalozi, watendaji wa CCM na wa Serikali,
leo Wilayani Kibondo akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za Kichama
mikoani
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Tanzania, Alhajj
Abdallah Bulembo akiwa amewasili ukumbini tayari kwa kikao hicho.
Kushoto ni Katibu wa Jumuia hiyo mkoa wa Kigoma Nicholaus Zakaria,
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou na kushoto ni
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa Viti Maalum
Josephine Ngezabuke, Mbunge wa Mbambwe Atashasta Nditiye na Mwenyekiti
wa CCM Wilaya ya Kibondo Josephat Ntabindi.
Wajumbe wakishangilia bada ya Bulembo kuingia ukumbini
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kibondo Josephat Ntabindi akifanya utambulisho kabla ya kufungua kikao hicho
Wajumbe wakishangilia ukumbini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...