Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akiingia ukumbini kuzungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Kibondo, Mabalozi, watendaji wa CCM na wa Serikali, leo Wilayani Kibondo akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za Kichama mikoani
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Tanzania, Alhajj Abdallah Bulembo akiwa amewasili ukumbini tayari kwa kikao hicho. Kushoto ni Katibu wa Jumuia hiyo mkoa wa Kigoma Nicholaus Zakaria, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou na kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa Viti Maalum Josephine Ngezabuke, Mbunge wa Mbambwe Atashasta Nditiye na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kibondo Josephat Ntabindi.
 Wajumbe wakishangilia bada ya Bulembo kuingia ukumbini 
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kibondo Josephat Ntabindi akifanya utambulisho kabla ya kufungua kikao hicho
 Wajumbe wakishangilia ukumbini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...