Timu ya Vijana ( Juvenile) ya Caltex Zanzibar na vikombe vyao mwaka 1964. Kutoka kushoto waliosimama ni Muhammed Ali, Muhamed Popat, Ahmed Ali, Hamad Suleiman,Khalid Sheikhan na Muhamed Peter na Team Manager Hija Saleh Hija.Walioketi: Hemed Haji, Muhammed Seif Khatib, Hassan Chita, Abass Fadhili na Seif Muhammed.
Home
Unlabelled
KUTOKA MAKTABA: Timu ya Vijana ( Juvenile) ya Caltex Zanzibar mwaka 1964
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...