Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF , Maalim Seif Sharif Hamad akiwa amejumuika na wakazi wa Temeke katika swala ya Magharibi iliyofanyika nyumbani kwa Mbunge wa Temeke Abdalah Mtolea ambapo alipata kujumuika katika futari na wakazi wa eneo hilo iliyoandaliwa na Mbunge huyo
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mstahiki Omary Kumbilamoto akiwa katika safu ya kuswali swala ya Magharibi nyumbani kwa Mbunge wa Temeke Abdalaha Mtolea wakati wa futari iliyoandaliwa na Mbunge huyo
Umati wa watu uliofika katika futari iliyoandaliwa na mbunge wa Temeke Mhe. Abdallah Mtolea
Mbunge wa Temeke Abdalah Mtolea akitoa neno la Shukrani kwa watu waliojumuika katika futari aliyo iandaa nyumbani kwake Buza Kanisani Temeke jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF , Maalim Seif Sharif Hamad akitoa neno kwa wakazi wa Temeke jijini Dar es Salaam mara baada ya futari iliyoanfdaliwa na mbunge wa jimbo hilo Abdalah Mtolea.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...