Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF , Maalim Seif Sharif Hamad akiwa amejumuika na wakazi wa Temeke katika swala ya Magharibi  iliyofanyika nyumbani kwa Mbunge wa Temeke Abdalah Mtolea ambapo alipata kujumuika katika futari na wakazi wa eneo hilo iliyoandaliwa na Mbunge huyo

Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala  Mstahiki Omary Kumbilamoto  akiwa katika safu ya kuswali swala ya Magharibi nyumbani kwa Mbunge wa Temeke Abdalaha Mtolea wakati wa futari iliyoandaliwa na Mbunge huyo
Umati wa watu uliofika katika  futari iliyoandaliwa na mbunge wa Temeke Mhe. Abdallah Mtolea
Mbunge wa Temeke Abdalah Mtolea akitoa neno la Shukrani kwa watu waliojumuika katika futari aliyo iandaa nyumbani kwake Buza Kanisani Temeke jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF , Maalim Seif Sharif Hamad akitoa neno kwa wakazi wa Temeke jijini Dar es Salaam mara baada ya futari iliyoanfdaliwa na mbunge wa jimbo hilo Abdalah Mtolea.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...