Masheikh wa dini ya Kiislam na viongozi wakubwa akiwamo Sheikh Basaleh na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad, kwenye mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
.
Mgeni wa heshma, Mke wa Makamu wa Rais Mstaafu, Mama Gharib Bilal, akitoa nasaha kwa waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
Mwanaharakati wa kijamii, Mwenyekiti na Mlezi wa Mashindano ya Qur'an ya Aisha Sururu Foundation, Bi Aisha Sururu, akitoa nasaha kwa waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
Baadhi ya waumini wa Kiislam waliohudhuria kwenye mashindano ya Qur'an kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
Baadhi ya waumini wa Kiislam waliohudhuria kwenye mashindano ya Qur'an kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...