Naibu Gavana Dkt.
Yamungu Kayandabila akilakiwa na afisa uhusiano Bi. Victoria Msina alipowasili kuanza kazi rasmi Benki Kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam
Naibu Gavana Dkt. Yamungu Kayandabila akilakiwa na maofisa alipowasili kuanza kazi rasmi Benki Kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam
Naibu Gavana Julian Banzi
Raphael(katikati) akifanya mazungumzo mafupi na Naibu Gavana Dkt. Kayandaliba
alipotembelea ofisini kwake.
Naibu Gavana Julian Banzi
Raphael(katikati) akifanya mazungumzo mafupi na Naibu Gavana Dkt. Kayandaliba
alipotembelea ofisini kwake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...