Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza usajili wa wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu, Wilayani Kasulu, mkoa wa Kigoma kwa lengo la kuwapatia watumishi wote vitambulisho.
Watumishi wa NIDA wakisajili wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu walayani Kasulu mkoani Kigoma leo
Watumishi wa NIDA wakiwapanga tayari kwa usajili wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu walayani Kasulu mkoani Kigoma leo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...