Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (tatu kushoto) akiteteta jambo na Shekh wa Mkoa wa Mbeya, Mohamed Ally Mwansasu wa (pili kulia)wakati wa hafla ya futari iliyo andaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja wa NMB walio katika Mfungo wa Ramadhani Mkoa wa Mbeya. Hafla hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Tughimbe mwishoni mwa wiki. Wengine katika picha ni maofisa wa Benki ya NMB. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker ( pili kulia) akitetea jambo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Dhairi Kidavashari mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyo andaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja wa NMB walio katika Mfungo wa Ramadhani Mkoa wa Mbeya. Hafla hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Tughimbe mwishoni mwa wiki. Mkuu wa Wilaya ya Chunya Rehema Madusa (kwanza kulia) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa NMB, Ineke Bussemaker wa (kwanza kushoto) wakati wa hafla ya futari iliyo andaliwa na benki ya NMB kwa ajili wateja wa NMB walio katika Mfungo wa Ramadhani Mkoa wa Mbeya. Hafla hii ilifanyika katika Ukumbi wa Tughimbe mwishoni mwa wiki. Katikati ni mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi NMB, Margaret Ikongo. Kaimu Mkurugenzi wa Wateja wadogo na wakati NMB, Abdulmagid Nsekela (pili kushoto) akiteta jambo na Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu Kusini –Badru Idd, wakati wa hafla ya futari iliyo andaliwa na benki ya NMB kwa ajili wateja wa NMB walio katika Mfungo wa Ramadhani Mkoa wa Mbeya. Hafla hii ilifanyika katika Ukumbi wa Tughimbe mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...