Basi la Mwendo kasi likilazimika kupita upande mwingine wa barabara yake baada ya gari ndogo aina ya Toyota Noah kugongana na Bajaj katika ya barabara hiyo eneo la Kinondoni kwa Mwanambona jijini Dar es salaam. Tukio hilo limetokea mchana wa leo, huku ikielezwa kuwa chanzo ni Bajaj hiyo iliyokuwa ikitokea njia ya Kinondoni Makaburini na kutaka kukatisha ghafla kuelekea upande wa Morocco.
Wakati mwendo kasi likiendelea kutaabika kupita, mwenye Noah na Mwenye Bajaj wakiendelea kupatana juu ya nini cha kufanya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...