Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika ambaye pia ni mtendaji mkuu Bw. Charles Nyambe  (pichani) anatarajia kufanya ziara nchini Tanzania kuanzia tarehe 5/6/2017 hadi 9/5/2017. 

Kwa mujibu wa Charles Rays, Mkurugenzi Special Olympics Tanzania, akiwa Tanzania Bw. Nyambe atapata fursa ya kuendesha mafunzo ya uongozi wa michezo ya Special Olympics  kwa makocha  50, ambao ni waratibu wa mikoa yote 30, pamoja na wengine 20 kutoka Dar es Salaam. 

"Amependekeza  pia kutumia masaa matatu kati ya siku nne atakazokuwa nasi hapa Tanzania kukutana na kuendesha  mafunzo ya uongozi kwa  wajumbe wote wa board ya Special Olympics Tanzania", amesema Bw. Rays.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...