Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha kamati
ya Uongozi na kamati ya Bajeti leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. kulia
kwake ni Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa na Kushoto kwake ni
Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah na anaefuata ni Naibu Spika wa
Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...