Imamu Mkuu wa Msikiti wa Buguruni kwa Mnyamani, Sheikh Muhammad Idd Muhammad, akitoa mawaidha wakati wa Swala ya Iddi El Fitri.  
Waumini wakiswali swala ya Iddi El Fitri kwenye Msikiti wa Buguruni kwa Mnyamani, jijini Dar es Salaam jana. Swala hiyo iliongozwa na Msaidizi wa Imamu Mkuu, Sheikh Ally Bakari, hotuba ikasomwa na msaidizi wa pili wa Imamu, Sheikh Abubakar Khamisi na mawaidha yakatolewa na Imamu Mkuu, Sheikh Muhammad Idd Muhammad.
Imamu Mkuu wa Msikiti wa Buguruni kwa Mnyamani, Sheikh Muhammad Idd Muhammad, akitakiana heri ya Sikukuu ya Iddi El Fitri na watoto waliofika katika msikiti huo kwa ajili ya swala ya Iddi El Fitri. 
Imamu Mkuu wa Msikiti wa Buguruni kwa Mnyamani, Sheikh Muhammad Idd Muhammad, akitakiana heri ya Sikukuu ya Iddi El Fitri na waumini. 
Imamu Mkuu wa Msikiti wa Buguruni kwa Mnyamani, Sheikh Muhammad Idd Muhammad, akitakiana heri ya Sikukuu ya Iddi El Fitri na waumini.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...