Familia ya Eng Deo Renati Masoy wa Shirika la Nyumbu Kibaha anasikitika kutangaza kifo cha Baba yao Mzazi Mzee Renati John Masoi .ambaye amefariki 19/Juni/2017 katika Hospitali ya Hindu Mandal
Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwa Mtoto wa Marehemu Eng Deo Masoy Kibaha kwa Mathias njia ya kwenda Nyumbu ,Habari ziwafikie Ukoo wote wa Masoy ,Ukoo wote wa Kombe Ndugu wa Marehemu Watoto wa marehemu Wajukuu waliopo ndani ya Nchi na Nnje ya Nchi , wwafanyakazi wa Shirika la Nyumbu Pamoja na majirani wote.
BWANA AMETOA BWANA AMETWA JINA LAKE LIHIMIDIWE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...