Familia ya Eng Deo Renati Masoy wa  Shirika la Nyumbu Kibaha anasikitika kutangaza kifo cha Baba yao Mzazi Mzee  Renati John Masoi .ambaye amefariki 19/Juni/2017 katika Hospitali ya Hindu Mandal

Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwa Mtoto wa Marehemu Eng Deo Masoy Kibaha kwa Mathias njia ya kwenda Nyumbu ,Habari ziwafikie Ukoo wote wa Masoy ,Ukoo wote wa Kombe Ndugu wa Marehemu Watoto wa   marehemu  Wajukuu waliopo ndani ya Nchi na Nnje ya Nchi , wwafanyakazi wa Shirika la Nyumbu  Pamoja na majirani wote.

BWANA AMETOA BWANA AMETWA JINA LAKE LIHIMIDIWE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...