Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto Duniani (UNICEF) Bibi. Stephenie Shanler akizungumza na washiriki wa mkutano maalum (hawapo pichani) wa  utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
 Washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano maalum wa utoaji elimu juu ya  Haki za watoto wakimbizi  unaofanyika  mkoani Kigoma.
 Washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano maalum wa utoaji elimu juu ya  Haki za watoto wakimbizi  unaofanyika  mkoani Kigoma.
 Washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano maalum wa utoaji elimu juu ya  Haki za watoto wakimbizi  unaofanyika  mkoani Kigoma.
Afisa Ustawi wa Jamii Mwandamizi kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bw.Darius Damas  akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano maalum(hawapo pichani)  wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma. Picha zote na Raymond Mushumbusi MAELEZO Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...