Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa
linaloshughulikia Watoto Duniani (UNICEF) Bibi. Stephenie Shanler akizungumza
na washiriki wa mkutano maalum (hawapo pichani) wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi
unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
Washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya
Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na
Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano
maalum wa utoaji elimu juu ya Haki za
watoto wakimbizi unaofanyika mkoani Kigoma.
Washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya
Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na
Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano
maalum wa utoaji elimu juu ya Haki za
watoto wakimbizi unaofanyika mkoani Kigoma.
Washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya
Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na
Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano
maalum wa utoaji elimu juu ya Haki za
watoto wakimbizi unaofanyika mkoani Kigoma.
Afisa Ustawi wa Jamii Mwandamizi kutoka Wizara
ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bw.Darius Damas akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano
maalum(hawapo pichani) wa utoaji elimu
juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma. Picha zote na Raymond Mushumbusi MAELEZO Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...