Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo akifungua warsha ya siku moja ya wadau wa Jotoardhi uliofanyika katika Kituo cha mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam leo Juni 15 2017. (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogspot) 
Ofisa misitu Mkuu Kitengo cha Nishati Mbadala, Paul Kiwele akiongea wakati wa Warsha ya wadau wa Jotoardhi iliyofanyika Dar es Salaam leo. 
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, Mhandisi Kato Kabaka akiwasilisha mada wakati wa Warsha ya wadau wa Jotoardhi iliyofanyika Dar es Salaam leo. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo (katikati) akibadilishana mawazo na Meneja Maendeleo wa Biashara pia Mwanajeolojia Mwandamizi wa Kampuni ya GeothermEx, Ann Robertson-Tait baada ya kufungua warsha ya siku moja ya wadau wa Jotoardhi uliofanyika katika Kituo cha mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, Mhandisi Kato Kabaka. 
Meneja Maendeleo wa Biashara pia Mwanajeolojia Mwandamizi wa Kampuni ya GeothermEx, Ann Robertson-Tait akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Carbon Counts, Mshauri wa Nishati na Mabadiliko ya Tabia Nchi Paul Zakkour (kushoto) na Mshirika wa Kampuni ya Norton Rose Fulbright, Richard Metcalf walipohudhuria warsha hiyo. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha hiyo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...