Rais wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku Duniani(ITGA), Daniel Green(wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa kujadili changamoto zinazoikumba secta ya Tumbaku.Mazungumzo hayo yalifanyika katika Hoteli ya Lamada Dar es Salaam jana.Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Chama hicho(CEO), Antonio Abrunhosa na kutoka ktoka kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama cha Tumbaku Tanzania(FDTU), Miraji Mgalula na Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi, Dk.Jackson Nkuba.
Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wakulima Duniani(CEO), Antonio Abrunhosa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa kujadili changamoto zinazoikumba secta ya Tumbaku unaofanyika katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.Kulia ni Rais wa Chama hicho, Daniel Green.
Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi, Dk.Jackson Nkuba(kulia), akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa kujadili changamoto zinazoikumba secta ya Tumbaku unaofanyika katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Rais wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku Duniani, Daniel Green na Mtendaji Mkuu wa Chama hicho(CEO), Antonio Abrunhosa.
Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku Tanzania (Flue & Dark Tobacco Unio), Miraji Mgalula (kulia), akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa kujadili changamoto zinazoikumba secta ya Tumbaku unaofanyika katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.Wapili kushoto ni Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi, Dk.Jackson Nkuba na Rais wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku Duniani, Daniel Green.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...