Rais wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku Duniani(ITGA),
Daniel Green(wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa
habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa
kujadili changamoto zinazoikumba secta ya
Tumbaku.Mazungumzo hayo yalifanyika katika Hoteli ya
Lamada Dar es Salaam jana.Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa
Chama hicho(CEO), Antonio Abrunhosa na kutoka ktoka kulia ni
Mtendaji Mkuu wa Chama cha Tumbaku Tanzania(FDTU), Miraji
Mgalula na Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Kilimo,Ufugaji na
Uvuvi, Dk.Jackson Nkuba.
Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wakulima Duniani(CEO),
Antonio Abrunhosa (kushoto) akizungumza na waandishi wa
habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa
kujadili changamoto zinazoikumba secta ya Tumbaku
unaofanyika katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.Kulia ni
Rais wa Chama hicho, Daniel Green.
Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi,
Dk.Jackson Nkuba(kulia), akizungumza na waandishi wa
habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano unaoendelea wa
kujadili changamoto zinazoikumba secta ya Tumbaku
unaofanyika katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es
Salaam.Kushoto ni Rais wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku
Duniani, Daniel Green na Mtendaji Mkuu wa Chama
hicho(CEO), Antonio Abrunhosa.
Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wakulima wa Tumbaku Tanzania
(Flue & Dark Tobacco Unio), Miraji Mgalula (kulia), akizungumza
na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mkutano
unaoendelea wa kujadili changamoto zinazoikumba secta ya
Tumbaku unaofanyika katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es
Salaam.Wapili kushoto ni Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya
Kilimo,Ufugaji na Uvuvi, Dk.Jackson Nkuba na Rais wa Chama
cha Wakulima wa Tumbaku Duniani, Daniel Green.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...