Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Semina ya Mtandao wa Wabunge Afrika Tawi la Tanzania walio katika Mapambano Dhidi ya Rushwa (APNAC). Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Naibu Spika, Dkt. Tulia Akson na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki, Kulia ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge Tawi la Tanzania walio katika Mapambano Dhidi ya Rushwa (APNAC) Kepteni Mstaafu (MB) John Mkuchika, na Mbunge wa wa Manyoni Mashariki Daniel Mtuka Nyuma walio simama ni waBunge wanao shiriki Semina hiyo ya siku Mbili ambayo inaendeshwa na UNDP. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimina na Mshauri wa Maswala ya Bunge kutoka ofisi ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa Tawi la Tanzania ,Bibi Anna Hovhannesyan , baada ya kufungua Semina ya Mtandao wa Wabunge Africa Tawi la Tanzania walio katika Mapambano Dhidi ya Rushwa (APNAC) Semina hiyo ya siku mbili inafanyika Mkoani Dododma katika ukumbi wa Hoteli ya African Dreams . June 9, 2017 na June10,2017 nakuendeshwa na UNDP.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki ,baada ya kufungua Semina ya Mtandao wa Wabunge wa Africa Tawi la Tanzania walio katika Mapambano Dhidi ya Rushwa (APNAC) katikati ni Naibu Spika Dr Tulia Akson, Semina hiyo ya siku mbili inafanyika Mkoani Dododma katika ukumbi wa Hoteli ya African Dreams . June 9, 2017 na June10,2017 nakuendeshwa na UNDP.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...