Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa salamu za Shukurani kwa niaba ya Wabunge na wafanyakazi wa Bunge, kwa Spika wa Bunge Job Ndugai, kwa kuwafuturisha, June 20, 2017 katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. Waziri Mkuu aliwaasa Watanzania wote kuwa na ushirikiano kwa dini zote na kupendana.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akibadilishana mawazo na Spika wa Bunge Job Ndugai katika Futari iliyoandaliwa na Spika kwa ajili ya Wabunge, Wafanyakazi wa Bunge na Wageni waalikwa katika viwanja vya Bunge Mjini Dododma, June 20, 2017
Baadhi ya Wabunge wakibadilishina mawazo wakati wa futari iliyo andaliwa na Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai , kutoka kulia, Mbunge wa Ilala Idd Zungu. katikati Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge .na kushoto ni Mbunge wa Mbarali Haroon Mulla .Futari hiyo ilifuturiwa katika viwanja vya Bunge June 20, 2017 Mjini Dodoma
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...