Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitia saini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Umoja wa mataifa linaloshughulikia idadi ya Watu Duniani Dr. Babatunde Osotimehin kilichotokea tarehe 4/06/2017.
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akiwa katika picha ya pamoja na Afisa Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu Duniani Batula Abdi wakati alipokwenda kutia saini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Umoja wa mataifa linaloshughulikia idadi ya Watu Duniani Dr. Babatunde Osotimehin kilichotokea tarehe 4/06/2017.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...