Baadhi ya Masheha walioteuliwa kushika nafasi hizo katika Wilaya mbalimbali za Mjini Magharibi wakiwa wanasubiri kuapishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja.
 Baadhi ya Masheha walioteuliwa kushika nafasi hizo katika Wilaya mbalimbali za Mjini Magharibi wakiwa wanasubiri kuapishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja.
 Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud kushoto akimuapisha ndugu Elvis Victor Luanda kuwa sheha wa shehia ya Binti Amrani katika hafla ya kuwaapisha masheha  iliofanyika Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja.
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud kushoto akimuapisha ndugu Ali Silima Shauri  kuwa sheha wa shehia ya Mkele katika hafla ya kuwaapisha masheha  iliofanyika Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja. PICHA NA YUSSUF SIAMI/MAELEZO ZANZIBAR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...