Ankal Michuzi akizungumza na Wadau Abdul Malik wa Global Education Link na Pascala Mayala wa PPR katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa Dar es salaam (Sabasaba), Jijini Dar es salaam.
Ankal Michuzi akizungumza na Wafanyakazi wa kampuni ya Magazeti ya Serikali DailyNews na Habari Leo katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa Dar es salaam (Sabasaba), Jijini Dar es salaam.
Ankal Michuzi akisalimiana na wafanyakazi wa kampuni ya Magazeti ya Serikali Daily News na Habari Leo katika Maonyesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...