Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (kushoto),akipokea tuzo ya ubora ya Superbrand Afrika Mashariki kwa mwaka 2017-18 kutoka kwa Mkurugenzi wa Miradi wa Superbrands Afrika Mashariki, Jawad Jaffer katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Hii ni mara ya pili kwa NBC kupokea tuzo hiyo mara ya kwanza ikiwa ni mwaka 2015-16.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (​wa tatu kushoto), akipozi kwa picha pamoja na baadhi ya wawakilishi wa makampuni yaliyoshinda tuzo za Superbrand Afrika Mashariki katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo jijini Dar es Salaam jana. Hii ni mara ya pili kwa NBC kupokea tuzo hiyo mara ya kwanza ikiwa ni mwaka 2015-16

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...