Kaimu Mkuu wa Chuo cha Utalii Tanzania Mama Rosada Msoma akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo cha Utalii nchini leo jijini Dar es salaam, ambapo amewakaribisha Watanzania kujiunga na kozi mbalimbali zitolewazo na chuo hicho.
Baadhi ya watendaji wa Chuo cha utalii walioshiriki mkutano huo na waandishi wa habari juu ya kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo hicho leo.
Waandishi wa habari walioshiriki mkutano huo wa Waandishi wa Habari uliohusu juu ya kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo hicho
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...