Kaimu Mkuu wa Chuo cha Utalii Tanzania Mama Rosada Msoma  akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo  cha Utalii nchini  leo jijini Dar es salaam, ambapo  amewakaribisha Watanzania  kujiunga na kozi mbalimbali zitolewazo na chuo hicho.
 Baadhi ya watendaji wa Chuo cha utalii walioshiriki mkutano huo na waandishi wa habari juu ya kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo hicho leo.
Waandishi wa habari walioshiriki mkutano huo wa  Waandishi wa Habari uliohusu juu ya kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo hicho

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...