Msanii
wa Muziki wa Kughani Mrisho Mpoto akiimba mbele ya mashabiki
waliomzunguka katika kituo cha taharifa cha Hifadhi ya Taifa ya
Ngorongoro kilichopo katika banda la Maonyesho ya 41 ya Saba saba jijini
Dar es Salaam
Kaimu
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana
CCM,Jokate Mwegelo akicheza na wamasai katika kituo cha taharifa cha
Ngorongoro kinachoongozwa na Mrisho Mpoto katika Viwanja vya Maonyesho
Sabasaba jijini Dar es Salaam
Kaimu
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana
CCM,Jokate Mwegelo akicheza na wamasai katika kituo cha taharifa cha
Ngorongoro kinachoongozwa na Mrisho Mpoto katika Viwanja vya Maonyesho
Sabasaba jijini Dar es Salaam
Msanii
wa Muziki wa Bongofleva Nchini Haroun Kahena 'Inspector Haroun'
Akizungumza na wadau taharifa cha Ngorongoro kinachoongozwa na
Mrisho Mpoto katika Viwanja vya Maonyesho Sabasaba jijini Dar es Salaam
Sehemu
ya Wamasai waliofika katika kituo cha taharifa cha Ngorongoro
kinachoongozwa na Mrisho Mpoto katika Viwanja vya Maonyesho Sabasaba
jijini Dar es Salaam.
Sehemu
ya Wamasai waliofika katika kituo cha taharifa cha Ngorongoro
kinachoongozwa na Mrisho Mpoto katika Viwanja vya Maonyesho Sabasaba
jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...