Kiongozi Mkuu wa Liberation City Ministries and Miracles Duniani Dkt. Chris Okafor akipokea shada ya maua baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana tayari kwa Kongamano kubwa la WAKATI WA UTULIZO 2017 
 Kiongozi Mkuu wa Liberation City Ministries and Miracles Duniani Dkt. Chris Okafor akilakiwa kwa shangwe na waumini baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana tayari kwa Kongamano kubwa la WAKATI WA UTULIZO 2017 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...