Kiongozi Mkuu wa Liberation City Ministries and Miracles Duniani Dkt. Chris Okafor akipokea shada ya maua baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana tayari kwa Kongamano kubwa la WAKATI WA UTULIZO 2017
Kiongozi Mkuu wa Liberation City Ministries and Miracles Duniani Dkt. Chris Okafor akilakiwa kwa shangwe na waumini baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana tayari kwa Kongamano kubwa la WAKATI WA UTULIZO 2017
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...