MRATIBU wa mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Safia Saleh Sultan, akielezea lengo la mafunzo hayo, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, yaliofanyika ofisi ya ZLSC mjini Chakechake
 MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akielezea kazi na mikakati ya kituo, kwenye mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo yalifanyika Kituoni kwao Chakechake
 Katibu tawala wilaya ya Chakechake, Sheha Mpate Mtumwa, akifungua mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo hayo yaliofanyika Kituoni kwao Chakechake
 MTOA mada ya Ugatuzi wa madaraka Said Makame Said, akielezea maana ya ugatuzi, kwa madiwani na msheha wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo hayo yaliotayarisha na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika osifini kwao mjini Chakechake Pemba
 AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akigusia kipengele cha mamlaka ya masheha kisheria, kwenye mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, yaliofanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC mjini Chakechake
MASHEHA na Madiwani wa mkoa wa kusini Pemba, wakifuatilia mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwenye mafunzo yaliotayarishwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika ofisini kwao mjini Chakechake. (Picha na Haji Nassor, Pemba).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...