Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akizungumza na Waziri  wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambapo Makamu wa Rais aliupokea kwa niaba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akimsikiliza Waziri  wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambapo Makamu wa Rais aliupokea kwa niaba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akipokea Ujumbe Maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi ya Lesotho na kukabidhiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ofisini kwake, Ikulu jijini Dar es Salaam.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...