Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Unigereza na mchezaji mpya wa klabu ya Everton Wayne Rooney katika hafla ya chakula cha usiku aliyowaandalia wageni hao usiku huu ambao kesho wanacheza na Gor Mahia ya Kenya katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...