Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Unigereza na mchezaji mpya wa klabu ya Everton Wayne Rooney katika hafla ya chakula cha usiku aliyowaandalia wageni hao usiku huu ambao kesho wanacheza na Gor Mahia ya Kenya katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Home
Unlabelled
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awaandalia Everton chakula cha usiku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...