Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali,ndugu jamaa na Marafiki katika kutoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.
Pichani wa tatu kulia ni Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe akiwa sambamba na Familia yake ndani ya kanisa la KKKT Kunduchi wakishiriki kwa pamoja misa ya kuaga mwili wa Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwishoni mwa wiki.
Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pole kwa Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe,kufuatia kifo cha mke wake mpendwa Linah Mwakyembe,kilichotokea mwishoni wa wiki jijini Dar. 
Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akitoa salamu za pole wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.
Misa ya kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe ikiendelea mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.
Baadhi ya Viongozi wa chama na Serikali wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimfariji Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe kufuatia kuondokewa na mke wake Linah Mwakyembe mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...