Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya
Kujanakushoka Tools Manufactures Group Bw. Leonard Kushoka (kushoto)
akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati
akitambulisha mashine ya kuzalisha mkaa mbadala utokanao na takataka,
kulia ni mmoja ya wafanyakazi wa kampuni hiyo Bi. Zainabu Mtiga.
Baadhi ya waandishi wa habari
wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Kujanakushoka Tools
Manufactures Group Bw. Leonard Kushoka wakati akitambulisha mashine ya
kuzalisha mkaa mbadala utokanao na takataka mapema hii leo jijini Dar es
Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya
Kujanakushoka Tools Manufactures Group Bw. Leonard Kushoka akielekeza
waandishi wa habari (hawapo pichani) namna mashine inavozibadili
takataka na kuwa nishati ya mkaa mbadala.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...