Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga jana alikabidhi gari la wagonjwa Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro  katika sherehe fupi iliyofanyika mjini humo. Sambamba na gari hilo pia Mhe. Mayenga alitoa Shilingi  milioni 17 ambapo milioni 15 ni  mchango wake wa ujenzi wa chumba cha upasuaji na milioni mbili  kwa ajili ya kifaa cha maabara katika kituo cha Afya cha Kambarage.
 Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akionesha funguo la gari la wagonjwa kabla ya kuikabidhi kwa Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro (kulia)  katika sherehe fupi iliyofanyika mjini humo
  Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga akisindikizwa kwa nderemo na wananchi waliojawa na furaha baada ya kukabidhi gari la wagonjwa  kwa Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro (kulia)  katika sherehe fupi iliyofanyika mjini humo
La wagonjwa ambalo   Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Lucy Mayenga amemkabidhi  Mkuu wa wilaya Shinyanga mjini Mhe. Josephine Matiro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...