Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof Godius Kahyarara akipata maelezo kuhusu huduma ya Mafao ya Matibabu Kutoka kwa Ofisa wa NSSF, Aisha Omari alipotembelea banda lao katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataida Dar es salaam (Sabasaba) yanayoendeela katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof Godius Kahyarara akipata maelezo kuhusu huduma mbalimbali kutoka kwa Afisa Uhusiano Aisha Sango na Christina Msengi alipotembelea banda la NSSF katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataida Dar es salaam (Sabasaba) yanayoendeela katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof Godius Kahyarara akipata maelezo kuhusu kifaa cha kuandikishia wanachama kutoka kwa Afisa matekelezo, Burhan Idrisa alipotembelea banda la NSSF katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataida Dar es salaam (Sabasaba) yanayoendeela katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam.
Maafisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiendelea kutoa huduma kwa wateja mbalimbali waliotembelea Banda la NSSF, katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataida Dar es salaam (Sabasaba) yanayoendeela katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam. Bofya hapa kwa picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...